SPORTS
JEAN CHARLES AHOU

Ikitokea tena siku mkanisikia nasema tena JEAN CHARLES AHOU hafai kuanza kwenye hii timu yangu, tafadhalini mje mniwashe makofi, Mimi mkinisikia nasema Ahoua hafai kwenye hii timu mje mnipige vibao😀
Mpanzu alizoea anaiweka halafu apite aikute njiani leo kila akijaribu hakuna mwenye ubongo wa Ahoua pale mbele.